Jeremiah 2:26 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Kama vile mwizi aonavyo aibu akishikwa, ndivyo Waisraeli watakavyoona aibu; wao wenyewe, wafalme wao, wakuu wao, makuhani wao na manabii wao.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Kama vile mwizi anavyoaibika akikamatwa, hivyo ndivyo nyumba ya Israeli inavyoaibishwa: wao wenyewe, wafalme wao na maafisa wao, makuhani wao na manabii wao.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kama mwivi aonavyo haya akamatwapo, ndivyo waonavyo haya nyumba ya Israeli; wao, na wafalme wao, na wakuu wao, na makuhani wao, na manabii wao;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Kama vile mwizi aonavyo aibu akishikwa, ndivyo Waisraeli watakavyoona aibu; wao wenyewe, wafalme wao, wakuu wao, makuhani wao na manabii wao.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Kama vile mwizi aaibikavyo wakati amekamatwa, hivyo ndivyo na nyumba ya Israeli inavyoaibishwa, wao wenyewe, wafalme wao na maafisa wao, makuhani wao na manabii wao.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Kama vile mwizi aaibikavyo wakati amekamatwa, hivyo ndivyo nyumba ya Israeli inavyoaibishwa: wao wenyewe, wafalme wao na maafisa wao, makuhani wao na manabii wao.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kama mwizi aonavyo haya akamatwapo, ndivyo waonavyo haya nyumba ya Israeli; wao, na wafalme wao, na wakuu wao, na makuhani wao, na manabii wao;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Kama vile mwizi aonavyo aibu akishikwa, ndivyo Waisraeli watakavyoona aibu; wao wenyewe, wafalme wao, wakuu wao, makuhani wao na manabii wao.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kama mwizi anavyoona soni akikamatwa, vivyo hivyo nao wa mlango wa Isiraeli sharti waone soni, wafalme wao na wakuu wao na watambikaji wao na wafumbuaji wao.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kama mwivi aonavyo haya akamatwapo, ndivyo waonavyo haya nyumba ya Israeli; wao, na wafalme wao, na wakuu wao, na makuhani wao, na manabii wao;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kama vile mwizi anavyofezeheka anaponaswa, ndivyo Waisraeli watakavyofezeheka; wao wenyewe, wafalme wao, wakubwa wao, makuhani wao na manabii wao.