Jeremiah 2:30 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Niliwaadhibu watu wako bila kufanikiwa, wao wenyewe walikataa kukosolewa. Upanga wako uliwamaliza manabii wako kama simba mwenye uchu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Nimeadhibu watu wako bure tu, hawakujirekebisha. Upanga wako umewala manabii wako kama simba mwenye njaa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nimewapiga watoto wako bure; hawakukubali kurudiwa; upanga wenu wenyewe umewala manabii wako, kama simba aharibuye.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Niliwaadhibu watu wako bila kufanikiwa, wao wenyewe walikataa kukosolewa. Upanga wako uliwamaliza manabii wako kama simba mwenye uchu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Ni bure tu nimeadhibu watu wako, wala hukujirekebisha. Upanga wako umewala manabii wako kama simba mwenye njaa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Nimeadhibu watu wako bure tu, hawakujirekebisha. Upanga wako umewala manabii wako kama simba mwenye njaa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nimewapiga watoto wako bure; hawakukubali kurudiwa; upanga wenu wenyewe umewala manabii wako, kama simba aharibuye.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Niliwaadhibu watu wako bila kufanikiwa, wao wenyewe walikataa kukosolewa. Upanga wako uliwamaliza manabii wako kama simba mwenye uchu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Imekuwa ya bure, nikiwapiga wana wenu, maana hawakuonyeka, panga zenu zikawala wafumbuaji wenu, kama simba wanavyoangamiza.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nimewapiga watoto wako bure; hawakukubali kurudiwa; upanga wenu wenyewe umewala manabii wako, kama simba aharibuye.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Niliwaazibu ninyi lakini ilikuwa bure, ninyi munakataa maonyo. Muliwateketeza manabii wenu kwa upanga kama simba mwenye uchu.