Jeremiah 20:15 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Na alaaniwe aliyempelekea baba ujumbe: “Umepata mtoto wa kiume”, akamfanya ajae furaha.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Alaaniwe mtu yule aliyemletea baba yangu habari, yule aliyemfanya afurahi sana, akisema, “Mtoto amezaliwa kwako, tena mtoto wa kiume!”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na alaaniwe mtu yule aliyemletea baba yangu habari, akisema, Umezaliwa mtoto mwanamume; akimfurahisha.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Na alaaniwe aliyempelekea baba ujumbe: “Umepata mtoto wa kiume”, akamfanya ajae furaha.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Alaaniwe mtu yule aliyemletea baba yangu habari, yule aliyemfanya afurahi sana, akisema, “Mtoto amezaliwa kwako, tena mtoto wa kiume!”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Alaaniwe mtu yule aliyemletea baba yangu habari, yule aliyemfanya afurahi sana, akisema, “Mtoto amezaliwa kwako, tena mtoto wa kiume!”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na alaaniwe mtu yule aliyemletea baba yangu habari, akisema, Umezaliwa mtoto wa kiume; na kumfurahisha sana.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Na alaaniwe aliyempelekea baba ujumbe: “Umepata mtoto wa kiume”, akamfanya ajae furaha.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Awe ameapizwa naye mtu aliyempasha baba yangu habari kwamba: Umezaliwa mtoto wa kiume! akamfurahisha.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na alaaniwe mtu yule aliyemletea baba yangu habari, akisema, Umezaliwa mtoto mwanamume; akimfurahisha.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Alaaniwe mutu aliyemujaza baba yangu furaha kwa kumupelekea ujumbe kwamba amepata mutoto mwanaume.