Jeremiah 23:19 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Tazama, dhoruba kutoka kwa Mwenyezi-Mungu! Ghadhabu imezuka; kimbunga cha tufani kitamlipukia mtu mwovu kichwani.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Tazama, dhoruba ya Mwenyezi Mungu itatokea kwa ghadhabu, kisulisuli kitazunguka na kuanguka juu ya vichwa vya waovu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Tazama, tufani ya Bwana, yaani, ghadhabu yake, imetokea; ni dhoruba ya kisulisuli; itapasuka, na kuwaangukia waovu vichwani.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Tazama, dhoruba kutoka kwa Mwenyezi-Mungu! Ghadhabu imezuka; kimbunga cha tufani kitamlipukia mtu mwovu kichwani.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Tazama, dhoruba ya BWANA itapasuka kwa ghadhabu, kisulisuli kitazunguka zunguka juu ya vichwa vya waovu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Tazama, dhoruba ya bwana itapasuka kwa ghadhabu, kisulisuli kitazunguka na kuanguka vichwani vya waovu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Tazama, tufani ya BWANA, yaani, ghadhabu yake, imetokea; ni kimbunga cha tufani; itapasuka, na kuwaangukia waovu vichwani.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Tazama, dhoruba kutoka kwa Mwenyezi-Mungu! Ghadhabu imezuka; kimbunga cha tufani kitamlipukia mtu mwovu kichwani.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mtakiona kimbunga cha Bwana, hata makali yenye moto, yakitoka kwake, nao upepo wa chamchela wenye nguvu utawaangukia vichwani wao wasiomcha Mungu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Tazama, tufani ya BWANA, yaani, ghadhabu yake, imetokea; ni dhoruba ya kisulisuli; itapasuka, na kuwaangukia waovu vichwani.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Angalia, zoruba kali kutoka kwa Yawe; kasirani yake imeamuka, upepo mukali utapiga kichwa cha mwovu.