Jeremiah 23:26 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Itakuwa hivyo mpaka lini? Hao manabii wataendelea mpaka lini kupotoka moyo; kutabiri uongo na udanganyifu wa mioyo yao wenyewe?
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mambo haya yataendelea hata lini ndani ya mioyo ya hawa manabii wa uongo, ambao hutabiri maono ya uongo ya akili zao wenyewe?
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Je! Mambo hayo yatakuwa katika mioyo ya manabii wanaotabiri uongo hata lini, manabii hao wenye udanganyifu katika mioyo yao wenyewe?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Itakuwa hivyo mpaka lini? Hao manabii wataendelea mpaka lini kupotoka moyo; kutabiri uongo na udanganyifu wa mioyo yao wenyewe?
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mambo haya yataendelea mpaka lini ndani ya mioyo ya hawa manabii wa uongo, ambao hutabiri maono ya uongo ya akili zao wenyewe?
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mambo haya yataendelea mpaka lini ndani ya mioyo ya hawa manabii wa uongo, ambao hutabiri maono ya uongo ya akili zao wenyewe?
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Je! Mambo hayo yatakuwa katika mioyo ya manabii wanaotabiri uongo hata lini, manabii hao wenye udanganyifu katika mioyo yao wenyewe?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Itakuwa hivyo mpaka lini? Hao manabii wataendelea mpaka lini kupotoka moyo; kutabiri uongo na udanganyifu wa mioyo yao wenyewe?
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Hivyo vitakuwa mpaka lini mioyoni mwao wafumbuaji wafumbuao uwongo tu, walio wafumbuaji wa udanganyifu wa mioyo yao?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Je! Mambo hayo yatakuwa katika mioyo ya manabii wanaotabiri uongo hata lini, manabii hao wenye udanganyifu katika mioyo yao wenyewe?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Itakuwa hivyo mpaka wakati gani? Hao manabii wataendelea mpaka wakati gani kupotoka moyo, kutabiri uongo na udanganyifu wao wanaojitungia wenyewe?