Jeremiah 26:4 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Utawaambia hivi: Mwenyezi-Mungu asema hivi: Msiponisikiliza na kufuata sheria zangu nilizowawekea,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Waambie, ‘Hili ndilo asemalo Mwenyezi Mungu: Ikiwa hamtanisikiliza na kuifuata sheria yangu niliyoiweka mbele yenu,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nawe utawaambia, Bwana asema hivi, Kama hamtaki kunisikia, kwenda katika sheria yangu, niliyoiweka mbele yenu,
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Utawaambia hivi: Mwenyezi-Mungu asema hivi: Msiponisikiliza na kufuata sheria zangu nilizowawekea,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Waambie, ‘Hili ndilo asemalo BWANA: Ikiwa hamtanisikiliza na kuifuata sheria yangu ambayo nimeiweka mbele yenu,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Waambie, ‘Hili ndilo asemalo bwana: Ikiwa hamtanisikiliza na kuifuata sheria yangu ambayo nimeiweka mbele yenu,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nawe utawaambia, BWANA asema hivi, Kama hamtaki kunisikia, kwenda katika sheria yangu, niliyoiweka mbele yenu,
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Utawaambia hivi: Mwenyezi-Mungu asema hivi: Msiponisikiliza na kufuata sheria zangu nilizowawekea,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nawe utawaambia: Hivi ndivyo, Bwana anavyosema: Msiponisikia, msipoendelea kuyashika Maonyo yangu, niliyowapa ninyi, yawe machoni penu,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nawe utawaambia, BWANA asema hivi, Kama hamtaki kunisikia, kwenda katika sheria yangu, niliyoiweka mbele yenu,
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Utawaambia kwamba: Yawe anasema hivi: Kama hamutanisikiliza na kufuata sheria zangu nilizowawekea,