Jeremiah 27:14 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Usisikilize maneno ya manabii wanaokuambia: ‘Usimtumikie mfalme wa Babuloni’, kwa sababu wanakutabiria uongo.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Msiyasikilize maneno ya manabii wanaowaambia kwamba, ‘Hamtamtumikia mfalme wa Babeli,’ kwa sababu wanawatabiria uongo.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wala msisikilize maneno ya manabii wawaambiao ninyi, ya kwamba, Hamtamtumikia mfalme wa Babeli; maana wanawatabiria uongo.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Usisikilize maneno ya manabii wanaokuambia: ‘Usimtumikie mfalme wa Babuloni’, kwa sababu wanakutabiria uongo.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Msiyasikilize maneno ya manabii wanaowaambia kwamba, ‘Hamtamtumikia mfalme wa Babeli,’ kwa sababu wanawatabiria uongo.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Msiyasikilize maneno ya manabii wanaowaambia kwamba, ‘Hamtamtumikia mfalme wa Babeli,’ kwa sababu wanawatabiria uongo.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wala msisikilize maneno ya manabii wawaambiao ninyi, ya kwamba, Hamtamtumikia mfalme wa Babeli; maana wanawatabiria uongo.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Usisikilize maneno ya manabii wanaokuambia: ‘Usimtumikie mfalme wa Babuloni’, kwa sababu wanakutabiria uongo.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Msiyasikie maneno ya wafumbuaji wanaowaambia kwamba: Msimtumikie mfalme wa Babeli! Kwani hao huwafumbulia yenye uwongo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wala msisikilize maneno ya manabii wawaambiao ninyi, ya kwamba, Hamtamtumikia mfalme wa Babeli; maana wanawatabiria uongo.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Usisikilize maneno ya manabii wanaokuambia kwamba hautamutumikia mufalme wa Babeli, kwa sababu wanakutabiria uongo.