Jeremiah 27:6 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Sasa nimemkabidhi mtumishi wangu Nebukadneza mfalme wa Babuloni, nchi hizi zote; kadhalika nimempa wanyama wa porini wamtumikie.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Sasa nitazitia nchi zenu zote mkononi mwa mtumishi wangu Nebukadneza mfalme wa Babeli, na nitawafanya hata wanyama pori wamtumikie.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na sasa nimetia nchi hizi zote katika mkono wa Nebukadreza, mfalme wa Babeli, mtumishi wangu; na wanyama wa mwituni pia nimempa wamtumikie.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Sasa nimemkabidhi mtumishi wangu Nebukadneza mfalme wa Babuloni, nchi hizi zote; kadhalika nimempa wanyama wa porini wamtumikie.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Sasa nitazitia nchi zenu zote mkononi mwa mtumishi wangu Nebukadneza mfalme wa Babeli, nitawafanya hata wanyama wa mwituni wamtumikie.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Sasa nitazitia nchi zenu zote mkononi mwa mtumishi wangu Nebukadneza mfalme wa Babeli, na nitawafanya hata wanyama wa mwituni wamtumikie.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na sasa nimetia nchi hizi zote katika mkono wa Nebukadneza, mfalme wa Babeli, mtumishi wangu; na wanyama pori pia nimempa wamtumikie.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Sasa nimemkabidhi mtumishi wangu Nebukadneza mfalme wa Babuloni, nchi hizi zote; kadhalika nimempa wanyama wa porini wamtumikie.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Sasa mimi nimezitia nchi hizi zote mkononi mwa Nebukadinesari, mfalme wa Babeli, aliye mtumishi wangu; hata nyama wa porini nimempa, wamtumikie.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na sasa nimetia nchi hizi zote katika mkono wa Nebukadreza, mfalme wa Babeli, mtumishi wangu; na wanyama wa mwituni pia nimempa wamtumikie.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Sasa nimetoa inchi zote kwa mutumishi wangu Nebukadneza mufalme wa Babeli. Vilevile nimemupa nyama wa pori wamutumikie.