Jeremiah 28:10 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Ndipo nabii Hanania akaichukua ile nira shingoni mwa nabii Yeremia, akaivunja.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kisha nabii Hanania akaiondoa nira iliyokuwa shingoni mwa Yeremia na kuivunja,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ndipo nabii Hanania akaitwaa hiyo nira iliyokuwa juu ya shingo ya Yeremia, akaivunja.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Ndipo nabii Hanania akaichukua ile nira shingoni mwa nabii Yeremia, akaivunja.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kisha nabii Hanania akaiondoa nira iliyokuwa shingoni mwa Yeremia na kuivunja,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kisha nabii Hanania akaiondoa nira iliyokuwa shingoni mwa Yeremia na kuivunja,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ndipo nabii Hanania akaitwaa hiyo nira iliyokuwa juu ya shingo ya Yeremia, akaivunja.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Ndipo nabii Hanania akaichukua ile nira shingoni mwa nabii Yeremia, akaivunja.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndipo, mfumbuaji Hanania alipoiondoa miti ya kongwa shingoni pake Yeremia, akaivunja.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ndipo nabii Hanania akaitwaa hiyo nira iliyokuwa juu ya shingo ya Yeremia, akaivunja.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nabii Hanania akatwaa ile nira toka katika shingo la nabii Yeremia na kuivunja.