Jeremiah 28:17 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mwaka huohuo, mnamo mwezi wa saba, nabii Hanania akafa.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Katika mwezi wa saba wa mwaka ule ule, nabii Hanania akafa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi nabii Hanania akafa, mwaka uo huo, mwezi wa saba.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mwaka huohuo, mnamo mwezi wa saba, nabii Hanania akafa.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Katika mwezi wa saba wa mwaka ule ule, nabii Hanania akafa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Katika mwezi wa saba wa mwaka ule ule, nabii Hanania akafa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi nabii Hanania akafa, mwaka huo huo, mwezi wa saba.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mwaka huohuo, mnamo mwezi wa saba, nabii Hanania akafa.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mfumbuaji Hanania akafa mwaka uleule katika mwezi wa saba.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi nabii Hanania akafa, mwaka uo huo, mwezi wa saba.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mwaka huohuo, katika mwezi wa saba, nabii Hanania akakufa.