Jeremiah 29:12 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Hapo ndipo mtakaponiita na kuniomba, nami nitawasikiliza.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kisha mtaniita, na mtakuja na kuniomba, nami nitawasikiliza.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nanyi mtaniita, mtakwenda na kuniomba, nami nitawasikiliza.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Hapo ndipo mtakaponiita na kuniomba, nami nitawasikiliza.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kisha mtaniita na mtakuja na kuniomba, nami nitawasikiliza.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kisha mtaniita, na mtakuja na kuniomba, nami nitawasikiliza.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nanyi mtaniita, mtakwenda na kuniomba, nami nitawasikiliza.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Hapo ndipo mtakaponiita na kuniomba, nami nitawasikiliza.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mtakaponiita mkiendelea kunilalamikia, nitawasikia.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nanyi mtaniita, mtakwenda na kuniomba, nami nitawasikiliza.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa hiyo mutakapokuja kunililia na kuniomba, nitawasikiliza.