Jeremiah 29:3 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Barua hii ilipelekwa na Elasa mwana wa Shafani, na Gemaria mwana wa Hilkia, ambao Sedekia, mfalme wa Yuda, aliwatuma kwa Nebukadneza mfalme wa Babuloni. Yeremia aliandika hivi:
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Barua ilikabidhiwa kwa Elasa mwana wa Shafani, na kwa Gemaria mwana wa Hilkia, ambao Sedekia mfalme wa Yuda aliwatuma kwa Mfalme Nebukadneza huko Babeli. Barua yenyewe ilisema:
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
kwa mkono wa Elasa, mwana wa Shafani, na Gemaria, mwana wa Hilkia, (ambao Sedekia, mfalme wa Yuda, aliwatuma hata Babeli, kwa Nebukadreza, mfalme wa Babeli), kusema,
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Barua hii ilipelekwa na Elasa mwana wa Shafani, na Gemaria mwana wa Hilkia, ambao Sedekia, mfalme wa Yuda, aliwatuma kwa Nebukadneza mfalme wa Babuloni. Yeremia aliandika hivi:
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Barua ilikabidhiwa kwa Elasa mwana wa Shafani na Gemaria mwana wa Hilkia, ambao Sedekia mfalme wa Yuda aliwatuma kwa Mfalme Nebukadneza huko Babeli. Barua yenyewe ilisema:
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Barua ilikabidhiwa kwa Elasa mwana wa Shafani, na kwa Gemaria mwana wa Hilkia, ambao Sedekia mfalme wa Yuda aliwatuma kwa Mfalme Nebukadneza huko Babeli. Barua yenyewe ilisema:
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
kwa mkono wa Elasa, mwana wa Shafani, na Gemaria, mwana wa Hilkia, (ambao Sedekia, mfalme wa Yuda, aliwatuma hadi Babeli, kwa Nebukadneza, mfalme wa Babeli), kusema,
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Barua hii ilipelekwa na Elasa mwana wa Shafani, na Gemaria mwana wa Hilkia, ambao Sedekia, mfalme wa Yuda, aliwatuma kwa Nebukadneza mfalme wa Babuloni. Yeremia aliandika hivi:
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
ndipo, alipoitia mikononi mwao Elasa, mwana wa Safani, na Gemaria, mwana wa Hilkia; hawa ndio, Sedekia, mfalme wa Yuda, aliowatuma kwenda Babeli kwa Nebukadinesari, mfalme wa Babeli. Akawaandikia:
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
kwa mkono wa Elasa, mwana wa Shafani, na Gemaria, mwana wa Hilkia, (ambao Sedekia, mfalme wa Yuda, aliwatuma hata Babeli, kwa Nebukadreza, mfalme wa Babeli), kusema,
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Barua hii ilitumwa kwa mukono wa Elasa mwana wa Safamu, na Gemaria mwana wa Hilkia, ambao Zedekia mufalme wa Yuda, aliowatuma kwa Nebukadneza mufalme wa Babeli. Nayo iliandikwa hivi: