Jeremiah 29:5 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
‘Jengeni nyumba mkae. Limeni mashamba, pandeni mbegu na kula mazao yake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Jengeni nyumba na mwishi humo, pandeni bustani na mle mazao yake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Jengeni nyumba, mkakae ndani yake, kapandeni bustani, mkale matunda yake;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
‘Jengeni nyumba mkae. Limeni mashamba, pandeni mbegu na kula mazao yake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Jengeni nyumba na mstarehe, pandeni bustani na mle mazao yake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Jengeni nyumba na mstarehe, pandeni bustani na mle mazao yake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Jengeni nyumba, mkakae ndani yake, kapandeni bustani, mkale matunda yake;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
‘Jengeni nyumba mkae. Limeni mashamba, pandeni mbegu na kula mazao yake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Jengeni nyumba, mkae! Limeni mashamba, mle mazao yao!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Jengeni nyumba, mkakae ndani yake, kapandeni bustani, mkale matunda yake;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mujijengee nyumba za kukaa. Mulime mashamba, mupande mbegu na kula mazao yake.