Jeremiah 3:9 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Na, kwa kuwa yeye aliona kuwa ukahaba ni jambo dogo sana kwake, aliitia nchi unajisi, na kufanya ukahaba kwa kuabudu mawe na miti.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa sababu uasherati wa Israeli haukuwa kitu kwake, Yuda aliinajisi nchi kwa kuzini na mawe na miti.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Hata ikawa, kwa sababu alikuwa mwepesi wa kufanya ukahaba, nchi ikatiwa unajisi, naye akazini na mawe na miti.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Na, kwa kuwa yeye aliona kuwa ukahaba ni jambo dogo sana kwake, aliitia nchi unajisi, na kufanya ukahaba kwa kuabudu mawe na miti.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa sababu uasherati wa Israeli haukuwa kitu kwake aliinajisi nchi kwa kuzini na jiwe na mti.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa sababu uasherati wa Israeli haukuwa kitu kwake, Yuda aliinajisi nchi kwa kuzini na mawe na miti.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Hata ikawa, kwa sababu alikuwa mwepesi wa kufanya ukahaba, nchi ikatiwa unajisi, naye akazini na mawe na miti.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Na, kwa kuwa yeye aliona kuwa ukahaba ni jambo dogo sana kwake, aliitia nchi unajisi, na kufanya ukahaba kwa kuabudu mawe na miti.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ikawa, uvumi wa ugoni wake ukaichafua nchi, akazini akitumia mawe na miti.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Hata ikawa, kwa sababu alikuwa mwepesi wa kufanya ukahaba, nchi ikatiwa unajisi, naye akazini na mawe na miti.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Aliona kwamba ukahaba ni jambo dogo sana kwake. Aliichafua inchi kwa kufanya ukahaba, akiabudu mawe na miti.