Jeremiah 31:26 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Ndio maana mtu ataweza kusema: ‘Niliamka nikatambua kwamba usingizi wangu ulinifaa sana.’”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa jambo hili niliamka na kuangalia pande zote. Usingizi wangu ulikuwa mtamu kwangu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi, nikaamka, nikaangalia; na usingizi wangu ulikuwa mtamu kwangu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Ndio maana mtu ataweza kusema: ‘Niliamka nikatambua kwamba usingizi wangu ulinifaa sana.’”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa jambo hili niliamka na kuangalia pande zote. Usingizi wangu ulikuwa mtamu kwangu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa jambo hili niliamka na kuangalia pande zote. Usingizi wangu ulikuwa mtamu kwangu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi, nikaamka, nikaangalia; na usingizi wangu ulikuwa mtamu kwangu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Ndio maana mtu ataweza kusema: ‘Niliamka nikatambua kwamba usingizi wangu ulinifaa sana.’”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kisha nikaamka, nikaona, ya kuwa hivyo, nilivyolala usingizi, vimenipendeza sana.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi, nikaamka, nikaangalia; na usingizi wangu ulikuwa mtamu kwangu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ndiyo maana mutu ataweza kusema hivi: Niliamuka nikatambua kwamba usingizi wangu ulinifalia sana.