Jeremiah 32:25 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lakini, ee Mwenyezi-Mungu, wewe ndiwe uliyeniambia: “Nunua shamba kwa fedha na kuweka mashahidi,” ingawa mji wenyewe umetekwa na Wakaldayo.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ingawa mji utatiwa mikononi mwa Wakaldayo, wewe, Ee Bwana Mungu Mwenyezi, uliniambia, ‘Nunua shamba kwa fedha mbele ya mashahidi.’ ”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nawe, Ee Bwana MUNGU, umeniambia, Jinunulie shamba lile kwa fedha, ukawaite mashahidi; iwapo mji huu umetiwa katika mikono ya Wakaldayo; je! Itakuwaje?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lakini, ee Mwenyezi-Mungu, wewe ndiwe uliyeniambia: “Nunua shamba kwa fedha na kuweka mashahidi,” ingawa mji wenyewe umetekwa na Wakaldayo.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ingawa mji utatiwa mikononi mwa Wakaldayo, wewe, Ee BWANA Mwenyezi, uliniambia, ‘Nunua shamba kwa fedha na jambo hilo lishuhudiwe.’ ”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ingawa mji utatiwa mikononi mwa Wakaldayo, wewe, Ee bwana Mwenyezi, uliniambia, ‘Nunua shamba kwa fedha, na jambo hilo lishuhudiwe.’ ”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nawe, Ee Bwana MUNGU, umeniambia, Jinunulie shamba lile kwa fedha, ukawaite mashahidi; iwapo mji huu umetiwa katika mikono ya Wakaldayo; je! Itakuwaje?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lakini, ee Mwenyezi-Mungu, wewe ndiwe uliyeniambia: “Nunua shamba kwa fedha na kuweka mashahidi,” ingawa mji wenyewe umetekwa na Wakaldayo.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wewe Bwana Mungu, umeniambia: Jinunulie shamba kwa fedha, mashahidi wakiwako kuvishuhudia. Lakini mji huu utatiwa mikononi mwa Wakasidi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nawe, Ee Bwana MUNGU, umeniambia, Jinunulie shamba lile kwa fedha, ukawaite mashahidi; iwapo mji huu umetiwa katika mikono ya Wakaldayo; je! Itakuwaje?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini, ee Bwana wangu Yawe, wewe ndiwe uliyeniambia: “Nunua shamba kwa feza na kuweka washuhuda”, ingawa muji wenyewe umetekwa na Wakaldea.