Jeremiah 32:39 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Nitawapa moyo mmoja na nia moja, wapate kunicha mimi daima, kwa faida yao wenyewe na kwa faida ya watoto wao watakaofuata.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Nitawapa moyo mmoja na kutenda pamoja, ili waniche daima kwa mema yao wenyewe na kwa mema ya watoto wao baada yao.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
nami nitawapa moyo mmoja na njia moja, wapate kunicha sikuzote; kwa mema yao, na ya watoto wao baada yao;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Nitawapa moyo mmoja na nia moja, wapate kunicha mimi daima, kwa faida yao wenyewe na kwa faida ya watoto wao watakaofuata.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Nitawapa moyo mmoja na kutenda pamoja, ili kwamba waniche daima kwa mema yao wenyewe na kwa mema ya watoto wao baada yao.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Nitawapa moyo mmoja na kutenda pamoja, ili kwamba waniche daima kwa mema yao wenyewe na kwa mema ya watoto wao baada yao.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
nami nitawapa moyo mmoja na njia moja, wapate kunicha siku zote; kwa mema yao, na ya watoto wao baada yao;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Nitawapa moyo mmoja na nia moja, wapate kunicha mimi daima, kwa faida yao wenyewe na kwa faida ya watoto wao watakaofuata.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nami nitawapa kuwa wenye moyo mmoja washikao njia moja tu, waniogope siku zao zote; hivyo watajipatia mema wenyewe hata wana wao watakaokuwa nyuma yao.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
nami nitawapa moyo mmoja na njia moja, wapate kunicha sikuzote; kwa mema yao, na ya watoto wao baada yao;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nitawapa moyo mumoja na nia moja, wapate kuniheshimu mimi siku zote, kwa faida yao wenyewe na kwa faida ya watoto wao watakaofuata.