Jeremiah 33:3 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Niite, nami nitakujibu na kukuambia mambo makubwa yaliyofichika ambayo hujapata kuyajua.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
‘Niite, nami nitakuitikia, nitakuonesha mambo makubwa, yasiyochunguzika na usiyoyajua.’
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Niite, nami nitakuitikia, nami nitakuonyesha mambo makubwa, magumu usiyoyajua.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Niite, nami nitakujibu na kukuambia mambo makubwa yaliyofichika ambayo hujapata kuyajua.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
‘Niite nami nitakuitika na kukuambia mambo makuu na yasiyochunguzika usiyoyajua.’
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
‘Niite nami nitakuitika na kukuambia mambo makuu na yasiyochunguzika, usiyoyajua.’
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Niite, nami nitakuitikia, nami nitakuonesha mambo makubwa, magumu usiyoyajua.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Niite, nami nitakujibu na kukuambia mambo makubwa yaliyofichika ambayo hujapata kuyajua.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Niite! ndipo, nitakapokujibu, nikuambie mambo makuu yaliyo magumu, usiyoyajua.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Niite, nami nitakuitikia, nami nitakuonyesha mambo makubwa, magumu usiyoyajua.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Uniite, nami nitakujibu na kukuambia mambo makubwa yaliyofichwa ambayo haujapata kuyajua.