Jeremiah 33:8 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Nitawatakasa dhambi zao zote na kuwasamehe uovu wao na uasi walionitendea.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Nitawatakasa dhambi zote walizofanya dhidi yangu, na nitawasamehe dhambi zote za uasi dhidi yangu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nami nitawasafisha na uovu wao wote, ambao kwa huo wamenitenda dhambi; nami nitawasamehe maovu yao yote, ambayo kwayo wamenitenda dhambi, na kukosa juu yangu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Nitawatakasa dhambi zao zote na kuwasamehe uovu wao na uasi walionitendea.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Nitawatakasa dhambi zote walizofanya dhidi yangu na nitawasamehe dhambi zote za uasi dhidi yangu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Nitawatakasa dhambi zote walizofanya dhidi yangu, na nitawasamehe dhambi zote za uasi dhidi yangu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nami nitawasafisha uovu wao wote, ambao kwao wamenitenda dhambi; nami nitawasamehe maovu yao yote, ambayo kwayo wamenitenda dhambi, na kukosa juu yangu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Nitawatakasa dhambi zao zote na kuwasamehe uovu wao na uasi walionitendea.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nitawaeua, maovu yote, waliyonikosea, yawatoke, nikiwaondolea hayo maovu yao yote, waliyonikosea na kunitengua.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nami nitawasafisha na uovu wao wote, ambao kwa huo wamenitenda dhambi; nami nitawasamehe maovu yao yote, ambayo kwayo wamenitenda dhambi, na kukosa juu yangu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nitatakasa zambi zao zote na kuwasamehe uovu wao na uasi walionitendea.