Jeremiah 34:12 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Hapo neno la Mwenyezi-Mungu likamjia Yeremia:
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ndipo neno la Mwenyezi Mungu likamjia Yeremia kusema:
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi, neno la Bwana likamjia Yeremia, kutoka kwa Bwana, kusema,
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Hapo neno la Mwenyezi-Mungu likamjia Yeremia:
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ndipo neno la BWANA likamjia Yeremia kusema:
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ndipo neno la bwana likamjia Yeremia kusema:
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi, neno la BWANA likamjia Yeremia, kutoka kwa BWANA, kusema,
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Hapo neno la Mwenyezi-Mungu likamjia Yeremia:
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwa hiyo neno la Bwana likamjia Yeremia likitoka kwa Bwana kwamba:
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi, neno la BWANA likamjia Yeremia, kutoka kwa BWANA, kusema,
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Halafu neno la Yawe lilimufikia Yeremia kusema hivi: