Jeremiah 34:16 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lakini baadaye mligeuka, mkalitia unajisi jina langu, wakati mlipowachukua tena watumwa walewale wa kiume na wa kike ambao mlikuwa mmewaachia kama walivyotaka, mkawalazimisha kuwa watumwa tena.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lakini sasa mmegeuka na kulinajisi jina langu. Kila mmoja wenu amemrudisha mtumwa wa kiume na wa kike ambao mlikuwa mmewaacha huru waende zao walikotaka. Mmewalazimisha kuwa watumwa wenu tena.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
lakini mlighairi, na kulitukana jina langu; kila mtu akamrudisha mtumwa wake na mjakazi wake, ambao mmewaweka huru kama walivyopenda wenyewe, mkawatia utumwani tena, wawe watumwa wenu na wajakazi wenu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lakini baadaye mligeuka, mkalitia unajisi jina langu, wakati mlipowachukua tena watumwa walewale wa kiume na wa kike ambao mlikuwa mmewaachia kama walivyotaka, mkawalazimisha kuwa watumwa tena.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lakini sasa mmegeuka na kulinajisi Jina langu, kila mmoja wenu amemrudisha mtumwa wa kiume na wa kike ambao mlikuwa mmewaacha huru waende zao walikotaka. Mmewalazimisha kuwa watumwa wenu tena.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lakini sasa mmegeuka na kulinajisi jina langu. Kila mmoja wenu amemrudisha mtumwa wa kiume na wa kike ambao mlikuwa mmewaacha huru waende zao walikotaka. Mmewalazimisha kuwa watumwa wenu tena.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
lakini mlighairi, na kulitukana jina langu; kila mtu akamrudisha mtumwa wake na mjakazi wake, ambao mmewaweka huru kama walivyopenda wenyewe, mkawatia utumwani tena, wawe watumwa wenu na wajakazi wenu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lakini baadaye mligeuka, mkalitia unajisi jina langu, wakati mlipowachukua tena watumwa walewale wa kiume na wa kike ambao mlikuwa mmewaachia kama walivyotaka, mkawalazimisha kuwa watumwa tena.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini mkawarudia, mkalitia Jina langu uchafu mkiwarudisha kila mtu mtumwa wake na kijakazi wake, mliowapa ruhusa, wajiendee roho zao zilikotaka, mkawashurutisha kuwa tena watumwa na vijakazi wenu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
lakini mlighairi, na kulitukana jina langu; kila mtu akamrudisha mtumwa wake na mjakazi wake, ambao mmewaweka huru kama walivyopenda wenyewe, mkawatia utumwani tena, wawe watumwa wenu na wajakazi wenu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini muligeuka, mukachafua jina langu, wakati mulipowakamata tena watumwa na wajakazi walewale ambao mulikuwa mumewaachilia kama walivyotaka, mukawalazimisha kuwa watumwa tena.