Jeremiah 35:10 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Sisi tumeishi katika mahema na kutii mambo yote ambayo Yonadabu, mzee wetu, alituamuru.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Tumeishi katika mahema na tumetii kikamilifu kila kitu alichotuamuru baba yetu Yonadabu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
bali tumekaa katika hema, nasi tumetii; tukafanya sawasawa na yote aliyotuamuru Yonadabu, baba yetu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Sisi tumeishi katika mahema na kutii mambo yote ambayo Yonadabu, mzee wetu, alituamuru.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Tumeishi katika mahema na tumetii kikamilifu kila kitu alichotuamuru baba yetu Yonadabu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Tumeishi katika mahema na tumetii kikamilifu kila kitu alichotuamuru baba yetu Yonadabu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
bali tumekaa katika hema, nasi tumetii; tukafanya sawasawa na yote aliyotuamuru Yonadabu, baba yetu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Sisi tumeishi katika mahema na kutii mambo yote ambayo Yonadabu, mzee wetu, alituamuru.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Tunakaa mahemani, kwani tumeyasikia, tukayafanya yote, kama baba yetu Yonadabu alivyotuagiza.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
bali tumekaa katika hema, nasi tumetii; tukafanya sawasawa na yote aliyotuamuru Yonadabu, baba yetu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Sisi tumeishi katika mahema na kutii mambo yote ambayo Yonadabu, babu yetu, alituamuru.