Jeremiah 37:8 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Na Wakaldayo watarudi kuushambulia mji huu. Watauteka mji na kuuteketeza kwa moto.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kisha Wakaldayo watarudi na kushambulia mji huu, watauteka na kuuchoma moto.’
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na Wakaldayo watakuja tena, na kupigana na mji huu; nao watautwaa, na kuuteketeza.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Na Wakaldayo watarudi kuushambulia mji huu. Watauteka mji na kuuteketeza kwa moto.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kisha Wakaldayo watarudi na kushambulia mji huu, watauteka na kuuchoma moto.’
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kisha Wakaldayo watarudi na kushambulia mji huu, watauteka na kuuchoma moto.’
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na Wakaldayo watakuja tena, na kupigana na mji huu; nao watautwaa, na kuuteketeza.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Na Wakaldayo watarudi kuushambulia mji huu. Watauteka mji na kuuteketeza kwa moto.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini Wakasidi watarudi, waupigie mji huu vita; nao watauteka na kuuteketeza kwa moto.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na Wakaldayo watakuja tena, na kupigana na mji huu; nao watautwaa, na kuuteketeza.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Na Wakaldea watarudi kuushambulia muji huu. Watauteka muji na kuuteketeza kwa moto.