Jeremiah 38:8 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Basi, Ebedmeleki akamwendea mfalme, akamwambia,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ebed-Meleki akatoka nje ya jumba la kifalme na kumwambia,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ebedmeleki akatoka nyumbani mwa mfalme, akamwambia mfalme, akisema,
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Basi, Ebedmeleki akamwendea mfalme, akamwambia,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ebed-Meleki akatoka nje ya jumba la kifalme na kumwambia,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ebed-Meleki akatoka nje ya jumba la kifalme na kumwambia,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ebedmeleki akatoka nyumbani mwa mfalme, akamwambia mfalme, akisema,
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Basi, Ebedmeleki akamwendea mfalme, akamwambia,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ebedimeleki akatoka nyumbani mwa mfalme, akaja kusema na mfalme kwamba:
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ebedmeleki akatoka nyumbani mwa mfalme, akamwambia mfalme, akisema,
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Basi, Ebedimeleki akamwendea mufalme, akamwambia: