Jeremiah 42:12 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Nitawahurumieni na kumfanya mfalme awahurumie na kuwaacha nchini mwenu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Nitawaonea huruma ili naye awe na huruma kwenu na kuwarudisha katika nchi yenu.’
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nami nitawapa rehema, kwamba awarehemu ninyi, na kuwarudisha mkae katika nchi yenu wenyewe.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Nitawahurumieni na kumfanya mfalme awahurumie na kuwaacha nchini mwenu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Nitawaonea huruma ili naye awe na huruma juu yenu na kuwarudisha ninyi katika nchi yenu.’
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Nitawaonea huruma ili naye awe na huruma nanyi na kuwarudisha katika nchi yenu.’
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nami nitawapa rehema, kwamba awarehemu ninyi, na kuwarudisha mkae katika nchi yenu wenyewe.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Nitawahurumieni na kumfanya mfalme awahurumie na kuwaacha nchini mwenu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nami nitawapatia huruma, awahurumie na kuwarudisha katika nchi yenu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nami nitawapa rehema, kwamba awarehemu ninyi, na kuwarudisha mkae katika nchi yenu wenyewe.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nitawahurumia na kumufanya mufalme awahurumie na kuwaacha katika inchi yenu. –Ni ujumbe wa Yawe.