Jeremiah 42:3 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mwenyezi-Mungu, Mungu wako, na atuoneshe njia anayotaka tuifuate, na kile anachotaka tukifanye.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Omba ili Mwenyezi Mungu, Mungu wako, atuambie twende wapi na tufanye nini.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
ili kwamba Bwana, Mungu wako, atuonyeshe njia ambayo yatupasa tuiendee, na jambo litupasalo tulitende.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mwenyezi-Mungu, Mungu wako, na atuoneshe njia anayotaka tuifuate, na kile anachotaka tukifanye.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Omba ili BWANA Mungu wako atuambie tuende wapi na tufanye nini.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Omba ili bwana Mwenyezi Mungu wako atuambie twende wapi na tufanye nini.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
ili kwamba BWANA, Mungu wako, atuonyeshe njia ambayo yatupasa tuiendee, na jambo litupasalo tulitende.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mwenyezi-Mungu, Mungu wako, na atuoneshe njia anayotaka tuifuate, na kile anachotaka tukifanye.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Bwana Mungu wako atuonyeshe njia, tutakayoishika, na jambo, tutakalolifanya.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
ili kwamba BWANA, Mungu wako, atuonyeshe njia ambayo yatupasa tuiendee, na jambo litupasalo tulitende.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yawe, Mungu wako, atuonyeshe njia anayotaka tuifuate, na kile anachotaka tufanye.