Jeremiah 46:16 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wengi walijikwaa, wakaanguka, kisha wakaambiana wao kwa wao: ‘Simameni, tuwaendee watu wetu, turudi katika nchi yetu, tuukimbie upanga wa adui.’
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Watajikwaa mara kwa mara, wataangukiana wao kwa wao. Watasema, ‘Amka, turudi kwa watu wetu na nchi yetu, mbali na upanga wa mtesi.’
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Aliwakwaza wengi, naam, wakaangukiana wao kwa wao; wakasema, Haya! Na tuondoke, tukarudi kwa watu wetu wenyewe, hata nchi tuliyozaliwa, tuukimbie upanga unaotuonea.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wengi walijikwaa, wakaanguka, kisha wakaambiana wao kwa wao: ‘Simameni, tuwaendee watu wetu, turudi katika nchi yetu, tuukimbie upanga wa adui.’
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Watajikwaa mara kwa mara, wataangukiana wao kwa wao. Watasema, ‘Amka, turudi kwa watu wetu na nchi yetu, mbali na upanga wa mtesi.’
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Watajikwaa mara kwa mara, wataangukiana wao kwa wao. Watasema, ‘Amka, turudi kwa watu wetu na nchi yetu, mbali na upanga wa mtesi.’
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Aliwakwaza wengi, naam, wakaangukiana wao kwa wao; wakasema, Haya! Na tuondoke, tukarudi kwa watu wetu wenyewe, hadi nchi tuliyozaliwa, tuukimbie upanga unaotuonea.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wengi walijikwaa, wakaanguka, kisha wakaambiana wao kwa wao: ‘Simameni, tuwaendee watu wetu, turudi katika nchi yetu, tuukimbie upanga wa adui.’
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
akakwaza wengi, wakaangukiana mtu na mwenziwe wakiambiana: Inuka, turudi kwetu kwa wenzetu wa ukoo katika nchi, tulikozaliwa, tuzikimbie panga za wanguvu!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Aliwakwaza wengi, naam, wakaangukiana wao kwa wao; wakasema, Haya! Na tuondoke, tukarudi kwa watu wetu wenyewe, hata nchi tuliyozaliwa, tuukimbie upanga unaotuonea.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wengi walijikwaa, wakaanguka, kisha wakaambiana wao kwa wao: Musimame, tuwaendee watu wetu, turudi katika inchi yetu, tuukimbie upanga wa adui.