Jeremiah 46:22 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Misri anatoa sauti kama nyoka anayekimbia; maana maadui zake wanamjia kwa nguvu, wanamjia kwa mashoka kama wakata-miti.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Misri atatoa sauti kama ya nyoka anayekimbia kadiri adui anavyowasogelea na majeshi, watakuja dhidi yake wakiwa na mashoka, kama watu wakatao miti.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Sauti yake ni kama nyoka, wajapo kwa nguvu, Watamjia na mashoka, kama wachanja kuni.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Misri anatoa sauti kama nyoka anayekimbia; maana maadui zake wanamjia kwa nguvu, wanamjia kwa mashoka kama wakata-miti.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Misri atatoa sauti kama ya nyoka anayekimbia kadiri adui anavyowasogelea na majeshi, watakuja dhidi yake wakiwa na mashoka, kama watu wakatao miti.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Misri atatoa sauti kama ya nyoka anayekimbia kadiri adui anavyowasogelea na majeshi, watakuja dhidi yake wakiwa na mashoka, kama watu wakatao miti.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Sauti yake ni kama nyoka, wajapo kwa nguvu, Watamjia na mashoka, kama wachanja kuni.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Misri anatoa sauti kama nyoka anayekimbia; maana maadui zake wanamjia kwa nguvu, wanamjia kwa mashoka kama wakata-miti.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mashindo yao yakawa kama ya nyoka akikimbia, kwani wale wanakuja na vikosi vyao, wanawajia wakishika mashoka kama wakata kuni.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Sauti yake ni kama nyoka, wajapo kwa nguvu, Watamjia na mashoka, kama wachanja kuni.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Misri anatoroka bila fujo kama nyoka anayekimbia; maana waadui zake wanamufikia kwa nguvu, wanamufikia kwa mashoka kama wakata miti.