Jeremiah 46:8 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Misri ni kama mto Nili uliofurika kama mito inayoumuka mawimbi Ilisema: “Nitajaa, nitaifunika nchi, nitaiharibu miji na wakazi wake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Misri hujiinua kama Mto Naili, kama mito yenye maji yanayofanya mawimbi. Husema, ‘Nitainuka na kufunika dunia, nitaiangamiza miji na watu wake.’
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Misri anajiinua kama mto Nile, Na maji yake yanajirusha kama mito; Asema, Nitajiinua, nitaifunikiza nchi; Nitauharibu mji na hao wakaao ndani yake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Misri ni kama mto Nili uliofurika kama mito inayoumuka mawimbi Ilisema: “Nitajaa, nitaifunika nchi, nitaiharibu miji na wakazi wake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Misri hujiinua kama Mto Nile, kama mito yenye maji yanayofanya mawimbi. Husema, ‘Nitainuka na kufunika dunia, nitaiangamiza miji na watu wake.’
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Misri hujiinua kama Mto Naili, kama mito yenye maji yanayofanya mawimbi. Husema, ‘Nitainuka na kufunika dunia, nitaiangamiza miji na watu wake.’
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Misri anajiinua kama mto Nile, Na maji yake yanajirusha kama mito; Asema, Nitajiinua, nitaifunika nchi; Nitauharibu mji na hao wakaao ndani yake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Misri ni kama mto Nili uliofurika kama mito inayoumuka mawimbi Ilisema: “Nitajaa, nitaifunika nchi, nitaiharibu miji na wakazi wake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mmisri alipanda kama mto wa Nili, maji yakajirusha kama ya mito mikubwa, akasema: Nitapanda kuifunikiza nchi, niangamize mji nao wakaao humo!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Misri anajiinua kama mto Nile, Na maji yake yanajirusha kama mito; Asema, Nitajiinua, nitaifunikiza nchi; Nitauharibu mji na hao wakaao ndani yake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Misri ni kama muto Nili uliofurika, kama mito inayovumisha mawimbi. Ilisema: Nitajaa, nitaifunika inchi, nitaiharibu miji na wakaaji wake.