Jeremiah 48:14 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mwawezaje kusema: ‘Sisi ni mashujaa, na watu wenye nguvu nyingi za vita?’
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Mwawezaje kusema, ‘Sisi ni mashujaa, watu hodari katika vita’?
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mwasemaje ninyi, Sisi tu mashujaa, watu hodari wa vita.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mwawezaje kusema: ‘Sisi ni mashujaa, na watu wenye nguvu nyingi za vita?’
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Mwawezaje kusema, ‘Sisi ni mashujaa, watu jasiri katika vita’?
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Mwawezaje kusema, ‘Sisi ni mashujaa, watu jasiri katika vita’?
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mwasemaje ninyi, Sisi tu mashujaa, watu hodari wa vita.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mwawezaje kusema: ‘Sisi ni mashujaa, na watu wenye nguvu nyingi za vita?’
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mwasemaje: Sisi tu wenye nguvu, tu mafundi wa kupiga vita?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mwasemaje ninyi, Sisi tu mashujaa, watu hodari wa vita.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Namna gani munaweza kusema: Sisi ni mashujaa, na watu wenye nguvu nyingi za vita?