Jeremiah 48:41 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Miji yake itatekwa, ngome zitachukuliwa. Siku hiyo mioyo ya wanajeshi wa Moabu, itaogopa kama mwanamke anayejifungua.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Miji itatekwa na ngome zake zitatwaliwa. Katika siku hiyo, mioyo ya mashujaa wa Moabu itakuwa kama moyo wa mwanamke katika uchungu wa kuzaa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Miji imetwaliwa, ngome zimeshambuliwa, na mioyo ya mashujaa wa Moabu siku hiyo itakuwa kama moyo wa mwanamke katika utungu wake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Miji yake itatekwa, ngome zitachukuliwa. Siku hiyo mioyo ya wanajeshi wa Moabu, itaogopa kama mwanamke anayejifungua.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Miji itatekwa na ngome zake zitatwaliwa. Katika siku hiyo, mioyo ya mashujaa wa Moabu itakuwa kama moyo wa mwanamke aliye katika utungu wa kuzaa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Miji itatekwa na ngome zake zitatwaliwa. Katika siku hiyo, mioyo ya mashujaa wa Moabu itakuwa kama moyo wa mwanamke katika utungu wa kuzaa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Miji imetwaliwa, ngome zimeshambuliwa, na mioyo ya mashujaa wa Moabu siku hiyo itakuwa kama moyo wa mwanamke akiwa katika uchungu wa kujifungua.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Miji yake itatekwa, ngome zitachukuliwa. Siku hiyo mioyo ya wanajeshi wa Moabu, itaogopa kama mwanamke anayejifungua.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kirioti umetekwa, nayo miji yenye maboma imechukuliwa; kwa hiyo mioyo ya wapiga vita wa Moabu itakuwa siku ile kama moyo wa mwanamke anayetaka kuzaa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Miji imetwaliwa, ngome zimeshambuliwa, na mioyo ya mashujaa wa Moabu siku hiyo itakuwa kama moyo wa mwanamke katika utungu wake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Miji yake itatekwa, kuta zake vilevile. Siku hiyo mioyo ya waaskari wa Moabu itakuwa kama vile moyo wa mwanamuke anayezaa.