Jeremiah 48:6 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kimbieni! Jiokoeni wenyewe! Kimbieni kama pundamwitu jangwani!
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kimbieni! Okoeni maisha yenu, kuweni kama kichaka jangwani.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Haya! Kimbieni! Jiokoeni nafsi zenu! Mkawe kama mtu aliye mkiwa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kimbieni! Jiokoeni wenyewe! Kimbieni kama pundamwitu jangwani!
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kimbieni! Okoeni maisha yenu, iweni kama kichaka jangwani.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kimbieni! Okoeni maisha yenu, kuweni kama kichaka jangwani.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Haya! Kimbieni! Jiokoeni nafsi zenu! Mkawe kama mtu aliye mkiwa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kimbieni! Jiokoeni wenyewe! Kimbieni kama pundamwitu jangwani!
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kimbieni! Ziponyeni roho zenu! Mwe kama mti wa nyikani usio na majani!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Haya! Kimbieni! Jiokoeni nafsi zenu! Mkawe kama mtu aliye mkiwa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mukimbie! Mujiokoe wenyewe! Mukimbie kama punda wa pori katika jangwa!