Jeremiah 49:27 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Nitawasha moto katika kuta za Damasko, nao utateketeza ngome za mfalme Ben-hadadi.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Nitatia moto kuta za Dameski; utaangamiza ngome za Ben-Hadadi.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nami nitawasha moto katika ukuta wa Dameski, nao utayateketeza majumba ya Ben-hadadi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Nitawasha moto katika kuta za Damasko, nao utateketeza ngome za mfalme Ben-hadadi.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Nitatia moto kuta za Dameski; utaangamiza ngome za Ben-Hadadi.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Nitatia moto kuta za Dameski; utaangamiza ngome za Ben-Hadadi.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nami nitawasha moto katika ukuta wa Dameski, nao utayateketeza majumba ya Ben-hadadi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Nitawasha moto katika kuta za Damasko, nao utateketeza ngome za mfalme Ben-hadadi.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kisha nitawakisha moto bomani mwa Damasko, uyale majumba ya Beni-hadadi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nami nitawasha moto katika ukuta wa Dameski, nao utayateketeza majumba ya Ben-hadadi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nitawasha moto katika kuta za Damasiki, nao utateketeza nyumba nzuri za mufalme Beni-Hadadi.