Jeremiah 51:32 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Vivuko vya mto vimetekwa, ngome zimechomwa moto, askari wamekumbwa na hofu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Vivuko vya mito vimekamatwa, mabwawa yenye mafunjo yametiwa moto, nao askari wameingiwa na hofu kuu.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Navyo vivuko vimeshambuliwa, Nayo makangaga wameyatia moto, Nao watu wa vita wameingiwa na hofu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Vivuko vya mto vimetekwa, ngome zimechomwa moto, askari wamekumbwa na hofu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Vivuko vya mito vimekamatwa, mabwawa yenye mafunjo yametiwa moto, nao askari wameingiwa na hofu kuu.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Vivuko vya mito vimekamatwa, mabwawa yenye mafunjo yametiwa moto, nao askari wameingiwa na hofu kuu.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Navyo vivuko vimeshambuliwa, Nayo makangaga wameyatia moto, Nao watu wa vita wameingiwa na hofu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Vivuko vya mto vimetekwa, ngome zimechomwa moto, askari wamekumbwa na hofu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
ya kuwa vivuko vyote vimechukuliwa, ya kuwa manyasi ya bwawani yamechomwa moto, kwa hiyo wapiga vita wakaishia ukali.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Navyo vivuko vimeshambuliwa, Nayo makangaga wameyatia moto, Nao watu wa vita wameingiwa na hofu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Vivuko vya muto vimetekwa, makimbilio yamechomwa kwa moto, waaskari wamepatwa na hofu.