Jeremiah 51:43 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Miji yake imekuwa kinyaa, nchi ya ukavu na jangwa, nchi isiyokaliwa na mtu yeyote, wala kupitika na binadamu yeyote.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Miji yake itakuwa ukiwa, kame na jangwa, nchi isiyokuwa na mtu anayeishi ndani yake, ambayo hakuna mwanadamu atakayepita humo.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Miji yake imekuwa maganjo; Nchi ya ukame, na jangwa; Nchi asimokaa mtu ye yote, Wala hapiti mwanadamu huko.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Miji yake imekuwa kinyaa, nchi ya ukavu na jangwa, nchi isiyokaliwa na mtu yeyote, wala kupitika na binadamu yeyote.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Miji yake itakuwa ukiwa, kame na jangwa, nchi ambayo hakuna ye yote anayeishi ndani yake, ambayo hakuna mtu anayepita humo.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Miji yake itakuwa ukiwa, kame na jangwa, nchi ambayo hakuna yeyote anayeishi ndani yake, ambayo hakuna mtu anayepita humo.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Miji yake imekuwa maganjo; Nchi ya ukame, na jangwa; Nchi asimokaa mtu yeyote, Wala hapiti mwanadamu huko.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Miji yake imekuwa kinyaa, nchi ya ukavu na jangwa, nchi isiyokaliwa na mtu yeyote, wala kupitika na binadamu yeyote.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Miji yake ikawa ya kustukiwa kwa kuwa nchi kavu na jangwa, ni nchi isiyokaa mtu ye yote, wala hapapiti mwana wa mtu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Miji yake imekuwa maganjo; Nchi ya ukame, na jangwa; Nchi asimokaa mtu ye yote, Wala hapiti mwanadamu huko.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Miji yake imekuwa ukiwa, inchi yenye kukauka na jangwa, inchi isiyokaliwa na mutu yeyote, wala hakuna mwanadamu yeyote anayepita ndani yake.