Jeremiah 6:4 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Watasema: “Jitayarisheni kuushambulia Siyoni. Haya! Tuanze kushambulia adhuhuri! Bahati mbaya; jua linatua! Kivuli cha jioni kinarefuka.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Jiandaeni kwa vita dhidi yake! Inukeni tumshambulie mchana! Lakini, ole wetu, mchana unaisha, na vivuli vya jioni vinazidi kuwa virefu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Takaseni vita juu yake; inukeni, na tupande juu wakati wa adhuhuri. Ole wetu, kwa kuwa mchana umeanza kupungua, vivuli vya jioni vinazidi kuwa virefu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Watasema: “Jitayarisheni kuushambulia Siyoni. Haya! Tuanze kushambulia adhuhuri! Bahati mbaya; jua linatua! Kivuli cha jioni kinarefuka.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Jiandaeni kwa vita dhidi yake! Inukeni na tumshambulie mchana! Lakini, ole wetu, mchana unaisha na vivuli vya jioni vinazidi kuwa virefu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Jiandaeni kwa vita dhidi yake! Inukeni tumshambulie mchana! Lakini, ole wetu, mchana unaisha, na vivuli vya jioni vinazidi kuwa virefu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Takaseni vita juu yake; inukeni, na tupande juu wakati wa adhuhuri. Ole wetu, kwa kuwa mchana umeanza kupungua, vivuli vya jioni vinazidi kuwa virefu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Watasema: “Jitayarisheni kuushambulia Siyoni. Haya! Tuanze kushambulia adhuhuri! Bahati mbaya; jua linatua! Kivuli cha jioni kinarefuka.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Inukeni, tupapandie, jua lingaliko juu! A, tumechelewa sisi! Jua linataka kuchwa, vivuli vya jioni vinajivuta.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Takaseni vita juu yake; inukeni, na tupande juu wakati wa adhuhuri. Ole wetu, kwa kuwa mchana umeanza kupungua, vivuli vya jioni vinazidi kuwa virefu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Halafu watasema: Mujitayarishe, tupigane vita na Sayuni. Musimame, tuushambulie pa saa sita za muchana! Bahati mbaya kwetu, maana jua linatua! Saa za magaribi zinakaribia.