Jeremiah 7:8 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Lakini kumbe, mnayaamini maneno ya uongo bure.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lakini tazama, mnatumainia maneno ya udanganyifu yasiyo na maana.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Angalieni, mnatumainia maneno ya uongo, yasiyoweza kufaidia.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Lakini kumbe, mnayaamini maneno ya uongo bure.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lakini tazama, mnatumainia maneno ya udanganyifu yasiyo na maana.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lakini tazama, mnatumainia maneno ya udanganyifu yasiyo na maana.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Angalieni, mnatumainia maneno ya uongo, yasiyoweza kufaidia.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Lakini kumbe, mnayaamini maneno ya uongo bure.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Tazameni! Ninyi mnaojiegemeza maneno ya uwongo yasiyofaa:
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Angalieni, mnatumainia maneno ya uongo, yasiyoweza kufaidia.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini kumbe, munatumainia maneno ya udanganyifu yasiyokuwa na faida kwenu.