Jeremiah 8:15 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Tulitazamia kupata amani, lakini hakuna jema lililotokea. Tulitazamia wakati wa kuponywa, badala yake tukapata vitisho.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Tulitegemea amani, lakini hakuna jema lililokuja, tulitegemea wakati wa kupona, lakini kulikuwa hofu tu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Tulitazamia amani, lakini hayakuja mema yo yote; tulitazamia wakati wa kupona, na tazama, kufadhaika tu!
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Tulitazamia kupata amani, lakini hakuna jema lililotokea. Tulitazamia wakati wa kuponywa, badala yake tukapata vitisho.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Tulitegemea amani, lakini hakuna jema lililokuja, tulitegemea wakati wa kupona, lakini kulikuwa hofu tu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Tulitegemea amani, lakini hakuna jema lililokuja, tulitegemea wakati wa kupona, lakini kulikuwa hofu tu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Tulitazamia amani, lakini hayakuja mema yoyote; tulitazamia wakati wa kupona, na tazama, kufadhaika tu!
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Tulitazamia kupata amani, lakini hakuna jema lililotokea. Tulitazamia wakati wa kuponywa, badala yake tukapata vitisho.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mbona tunangojea utengemano? Lakini hakuna chema! Mbona tunangojea siku za kupona? Lakini tunayoyaona ni mastuko.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Tulitazamia amani, lakini hayakuja mema yo yote; tulitazamia wakati wa kupona, na tazama, kufadhaika tu!
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Tulitazamia kupata amani lakini hakuna kitu kizuri. Tulitazamia kupona lakini tumepatwa na vitisho.