Jeremiah 8:20 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Mavuno yamepita, kiangazi kimekwisha, nasi bado hatujaokolewa!
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Mavuno yamepita, kiangazi kimekwisha, nasi hatujaokolewa.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mavuno yamepita, wakati wa hari umekwisha, wala sisi hatukuokoka.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Mavuno yamepita, kiangazi kimekwisha, nasi bado hatujaokolewa!
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Mavuno yamepita, kiangazi kimekwisha, nasi hatujaokolewa.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Mavuno yamepita, kiangazi kimekwisha, nasi hatujaokolewa.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mavuno yamepita, wakati wa joto umekwisha, wala sisi hatukuokoka.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Mavuno yamepita, kiangazi kimekwisha, nasi bado hatujaokolewa!
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mavuno yamepita, kiangazi kimekwisha, lakini sisi hatukuokolewa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mavuno yamepita, wakati wa hari umekwisha, wala sisi hatukuokoka.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wakati wa mavuno umepita, nao wakati wa jua kali umekwisha, nasi hatujaokolewa!