Jeremiah 8:21 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Jeraha la watu wangu limeniumiza moyoni, ninaomboleza na kufadhaika.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa kuwa watu wangu wamepondwa, nami nimepondeka pia; ninaomboleza, nayo hofu kuu imenishika.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwa sababu ya maumivu ya binti ya watu wangu nimeumia mimi; nimevaa kaniki; ushangao umenishika.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Jeraha la watu wangu limeniumiza moyoni, ninaomboleza na kufadhaika.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa kuwa watu wangu wamepondwa, nami nimepondeka pia; ninaomboleza, nayo hofu kuu imenishika.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa kuwa watu wangu wamepondwa, nami nimepondeka pia; ninaomboleza, nayo hofu kuu imenishika.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa sababu ya maumivu ya binti ya watu wangu nimeumia mimi; nimevaa kaniki; ushangao umenishika.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Jeraha la watu wangu limeniumiza moyoni, ninaomboleza na kufadhaika.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwa mavunjiko yao walio wazaliwa wa ukoo wangu nami nimevunjika, nikaomboleza, ushangao ukanishika kwa nguvu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa sababu ya maumivu ya binti ya watu wangu nimeumia mimi; nimevaa kaniki; ushangao umenishika.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mimi ninavunjika moyo, ninaomboleza na kufazaika, kwa sababu watu wangu wameumizwa sana.