Jeremiah 8:4 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Wewe Yeremia utawaambia kuwa mimi Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Mtu akianguka, je hainuki tena? Mtu akipotea, je, hairudii tena njia yake?
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Waambie, ‘Hivi ndivyo asemavyo Mwenyezi Mungu: “ ‘Je, watu wanapoanguka hawainuki? Je, mtu anapopotea harudi?
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Tena utawaambia, Bwana asema hivi, Je! Watu wataanguka, wasisimame tena? Je! Mtu atageuka aende zake, asirudi tena?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Wewe Yeremia utawaambia kuwa mimi Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Mtu akianguka, je hainuki tena? Mtu akipotea, je, hairudii tena njia yake?
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Waambie, ‘Hivi ndivyo asemavyo BWANA: “ ‘Je, watu wanapoanguka hawainuki? Je, mtu anapopotea harudi?
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Waambie, ‘Hivi ndivyo asemavyo bwana: “ ‘Je, watu wanapoanguka hawainuki? Je, mtu anapopotea harudi?
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Tena utawaambia, BWANA asema hivi, Je! Watu wataanguka, wasisimame tena? Je! Mtu atageuka aende zake, asirudi tena?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Wewe Yeremia utawaambia kuwa mimi Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Mtu akianguka, je hainuki tena? Mtu akipotea, je, hairudii tena njia yake?
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
*Uwaambie: Hivi ndivyo, Bwana anavyosema: Je? Wako waangukao wasioinuka tena? Au yuko ageukaye asiyerudi tena?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Tena utawaambia, BWANA asema hivi, Je! Watu wataanguka, wasisimame tena? Je! Mtu atageuka aende zake, asirudi tena?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wewe Yeremia utawaambia kwamba: Yawe anasema hivi: Mutu akianguka, hasimami tena? Mutu akipotea, harudii tena katika njia yake?