Job 10:12 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Umenijalia uhai na fadhili, uangalifu wako umeisalimisha nafsi yangu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Umenipa uhai na kunitendea wema, katika uangalizi wako umeilinda roho yangu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Umenijazi uhai na upendeleo, Na maangalizi yako yameilinda roho yangu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Umenijalia uhai na fadhili, uangalifu wako umeisalimisha nafsi yangu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Umenipa uhai na kunitendea wema, katika uangalizi wako umeilinda roho yangu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Umenipa uhai na kunitendea wema, katika uangalizi wako umeilinda roho yangu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Unanijalia uhai na fadhili, Na kwa uangalifu wako roho yangu imetunzwa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Umenijalia uhai na fadhili, uangalifu wako umeisalimisha nafsi yangu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ukanipatia uzima na upendeleo, ukaikagua roho yangu na kuiangalia.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Umenijazi uhai na upendeleo, Na maangalizi yako yameilinda roho yangu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ukanipa uzima na kunitendea mema, ukalinda nafsi yangu kwa uangalifu.