Job 12:10 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Uhai wa kila kiumbe hai umo mikononi mwake; kadhalika na pumzi ya uhai wa binadamu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mkononi mwake kuna uhai wa kila kiumbe, na pumzi ya wanadamu wote.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ambaye nafsi ya kila kilicho hai i mkononi mwake, Na pumzi zao wanadamu wote.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Uhai wa kila kiumbe hai umo mikononi mwake; kadhalika na pumzi ya uhai wa binadamu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mkononi mwake uko uhai wa kila kiumbe na pumzi ya wanadamu wote.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mkononi mwake kuna uhai wa kila kiumbe, na pumzi ya wanadamu wote.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ambaye nafsi ya kila kilicho hai i mkononi mwake, Na pumzi zao wanadamu wote.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Uhai wa kila kiumbe hai umo mikononi mwake; kadhalika na pumzi ya uhai wa binadamu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mkononi mwake zimo roho zao hao nyama wote, zimo nazo pumzi zao wote wenye miili ya kimtu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ambaye nafsi ya kila kilicho hai i mkononi mwake, Na pumzi zao wanadamu wote.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Uzima wa kila kiumbe, pumzi ya kila mwanadamu, viko katika mikono yake.