Job 12:14 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Akibomoa, hakuna awezaye kujenga upya; akimfunga mtu, hakuna awezaye kumfungua.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kile anachokibomoa hakiwezi kujengeka tena; mtu aliyefungiwa naye hawezi kufunguliwa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Tazama, yuavunja, wala haiwezekani kujenga tena; Humfunga mtu, wala haiwezekani kumfungua.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Akibomoa, hakuna awezaye kujenga upya; akimfunga mtu, hakuna awezaye kumfungua.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kile anachokibomoa hakiwezi kujengeka tena, mtu aliyefungiwa naye hawezi kufunguliwa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kile anachokibomoa hakiwezi kujengeka tena; mtu aliyefungiwa naye hawezi kufunguliwa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Tazama, yuavunja, wala haiwezekani kujenga tena; Humfunga mtu, wala haiwezekani kumfungua.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Akibomoa, hakuna awezaye kujenga upya; akimfunga mtu, hakuna awezaye kumfungua.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Tazama: Akibomoa, hapajengwi tena; akimfunga mtu, hafunguliwi tena.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Tazama, yuavunja, wala haiwezekani kujenga tena; Humfunga mtu, wala haiwezekani kumfungua.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Akibomoa, hakuna anayeweza kujenga upya; akifunga mutu, hakuna anayeweza kumufungua.