Job 12:15 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Akizuia mvua, twapata ukame; akiifungulia, nchi hupata mafuriko.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Akizuia maji, huwa pana ukame; akiyaachia maji, huharibu nchi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Tazama, yuayazuia maji, nayo yakatika; Tena, huyapeleka, nayo yaipindua dunia.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Akizuia mvua, twapata ukame; akiifungulia, nchi hupata mafuriko.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Akizuia maji, huwa pana ukame, akiyaachia maji, huharibu nchi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Akizuia maji, huwa pana ukame; akiyaachia maji, huharibu nchi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Tazama, yuayazuia maji, nayo yakatika; Tena, huyatuma, nayo yaipindua dunia.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Akizuia mvua, twapata ukame; akiifungulia, nchi hupata mafuriko.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Tazama: Akiyazuia maji, hukauka; tena akiyaachia huifudikiza nchi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Tazama, yuayazuia maji, nayo yakatika; Tena, huyapeleka, nayo yaipindua dunia.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Akizuia mvua, inchi inakauka; akiifungulia, inchi inaharibika.