Job 12:16 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yeye ana nguvu na hekima; wanaodanganywa na wanaodanganya ni wake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwake kuna nguvu na ushindi; anayedanganywa na anayedanganya, wote wawili ni wake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwake yeye ziko nguvu, na makusudi kufanikiwa; Huyo adanganywaye, na mdanganyi pia ni wake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yeye ana nguvu na hekima; wanaodanganywa na wanaodanganya ni wake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwake kuna nguvu na ushindi, adanganywaye na adanganyaye, wote wawili ni wake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwake kuna nguvu na ushindi; adanganywaye na adanganyaye, wote wawili ni wake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwake yeye ziko nguvu, na hekima; Huyo adanganywaye, na mdanganyi pia ni wake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yeye ana nguvu na hekima; wanaodanganywa na wanaodanganya ni wake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Yeye ni mwenye nguvu na uwezo wa kufanya mambo, wake yeye ni apoteaye naye apotezaye.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwake yeye ziko nguvu, na makusudi kufanikiwa; Huyo adanganywaye, na mdanganyi pia ni wake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yeye ana nguvu na hekima. Wanaodanganywa na wanaodanganya ni wake.