Job 12:5 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mtu anayestarehe hudharau msiba; kwake, msiba huwajia wale wanaoteleza.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wanadamu wakiwa katika utulivu huwa na dharau kwa wale wenye msiba kana kwamba ndiyo haki ya wale ambao miguu yao inateleza.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Katika mawazo yake huyo aliye na raha mna kudharau mashaka; Tayari kwa ajili ya wenye kuteleza miguu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mtu anayestarehe hudharau msiba; kwake, msiba huwajia wale wanaoteleza.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wanadamu wakiwa katika utulivu huwa na dharau kwa wale wenye msiba kana kwamba ndiyo haki yao wale ambao miguu yao inateleza.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wanadamu wakiwa katika utulivu huwa na dharau kwa wale wenye msiba kana kwamba ndiyo haki ya wale ambao miguu yao inateleza.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Katika mawazo yake huyo aliye na raha mna kudharau balaa; Tayari kwa ajili ya wenye kuteleza miguu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mtu anayestarehe hudharau msiba; kwake, msiba huwajia wale wanaoteleza.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Atesekaye hubezwa moyoni mwake naye akaaye na kutulia, yuko tayari kuwasukuma wajikwaao miguu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Katika mawazo yake huyo aliye na raha mna kudharau mashaka; Tayari kwa ajili ya wenye kuteleza miguu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mutu mwenye raha anazarau taabu; taabu ni kwa wale wanaoteleza.