Job 13:12 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Misemo yenu ni methali za majivu, hoja zenu ni ngome za udongo.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Maneno yenu ni mithali za majivu; utetezi wenu ni ngome za udongo wa mfinyanzi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Matamko yenu ya hekima ni mithali ya majivu, Ngome zenu ni ngome za udongo.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Misemo yenu ni methali za majivu, hoja zenu ni ngome za udongo.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Maneno yenu ni mithali za majivu; utetezi wenu ni ngome za udongo wa mfinyanzi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Maneno yenu ni mithali za majivu; utetezi wenu ni ngome za udongo wa mfinyanzi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Maneno yenu ya hekima ni mithali ya majivu, Ngome zenu ni ngome za udongo.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Misemo yenu ni methali za majivu, hoja zenu ni ngome za udongo.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Makumbusho yenu ni mafumbo ya kijivu, nazo ngome zenu ni ngome za udongo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Matamko yenu ya hekima ni mithali ya majivu, Ngome zenu ni ngome za udongo.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Masemi yenu ni mezali za majivu, maneno yenu ni ukuta wa udongo.