Job 13:28 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Nami naishia kama mti uliooza, mithili ya vazi lililoliwa na nondo.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Hivyo mwanadamu huangamia kama kitu kilichooza, kama vazi lililoliwa na nondo.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nijapokuwa ni kama kitu kilichooza, kinachosinyaa, Mfano wa nguo iliyoliwa na nondo.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Nami naishia kama mti uliooza, mithili ya vazi lililoliwa na nondo.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Hivyo mwanadamu huangamia kama kitu kilichooza, mfano wa vazi lililoliwa na nondo.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Hivyo mwanadamu huangamia kama kitu kilichooza, kama vazi lililoliwa na nondo.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nijapokuwa ni kama kitu kilichooza, kinachosinyaa, Mfano wa nguo iliyoliwa na nondo.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Nami naishia kama mti uliooza, mithili ya vazi lililoliwa na nondo.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nami ninanyauka kama mwenye kibovu, nafanana na nguo iliyoliwa na nondo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nijapokuwa ni kama kitu kilichooza, kinachosinyaa, Mfano wa nguo iliyoliwa na nondo.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nami ninaisha kama muti uliooza, kama nguo iliyokuliwa na nondo.