Job 14:10 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lakini mtu hufa na huo ndio mwisho wake. Akisha toa roho anabakiwa na nini tena?
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lakini mwanadamu hufa, na huo ndio mwisho wake; hutoa pumzi ya mwisho, naye hayuko tena!
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Lakini mwanadamu hufa, huifariki dunia; Naam, mwanadamu hutoa roho, naye yupo wapi?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lakini mtu hufa na huo ndio mwisho wake. Akisha toa roho anabakiwa na nini tena?
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lakini mwanadamu hufa na huo ndio mwisho wake, hutoa pumzi ya mwisho, naye hayuko tena!
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lakini mwanadamu hufa, na huo ndio mwisho wake; hutoa pumzi ya mwisho, naye hayuko tena!
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Lakini mwanadamu hufa, hufariki dunia; Naam, mwanadamu hukata roho, naye yupo wapi?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lakini mtu hufa na huo ndio mwisho wake. Akisha toa roho anabakiwa na nini tena?
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini mtu akifa hutoweka, mwana wa Adamu akiisha kuzimia huenda wapi?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Lakini mwanadamu hufa, huifariki dunia; Naam, mwanadamu hutoa roho, naye yupo wapi?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini mutu anakufa na ule ndio mwisho wake. Akisha kutoa roho, anabakiliwa na nini tena?